AMA
kweli shetani anafanya hesabu zake za mwisho! Tangu mwaka 2014 uanze
yapo yaliyotokea na kusisimua likiwemo la kunaswa kwa kinara wa utoaji
mimba, Dk. Mambo, maeneo ya Kawe, Dar lakini hili la warembo kufumwa
wakitoa dozi ya ng0no linaweka historia nyingine,
Hebu sikia, saluni inayojihusisha na vitendo vya ’masaji’
lakini kumbe ng0n0 imo ndani yake imenaswa na kufumuliwa baada ya kukutwa uchafu wa aina yake nyuma ya pazia.
lakini kumbe ng0n0 imo ndani yake imenaswa na kufumuliwa baada ya kukutwa uchafu wa aina yake nyuma ya pazia.
Saluni
hiyo maarufu kuliko Miji ya Sodoma na Gomora, ipo maeneo ya Sinza
ambapo kwa muda mrefu sasa imekuwa ikijihusisha na uchafu huo na
kusababisha kero kwa wananchi wenye maadili yaliyotukuka.TAARIFA MEZANI
0 comments:
Post a Comment