HABARI NA MATUKIO MBALIMBALI

NAFASI HII NI YAKO KWA AJIRI YA MATANGAZO

NI SHIDAA FULL UMBEA

NAFASI HII NI YAKO KWA AJIRI YA MATANGAZO

NI SHIDAA FULL UMBEA

NAFASI HII NI YAKO KWA AJIRI YA MATANGAZO

NI SHIDAA FULL UMBEA

NAFASI HII NI YAKO KWA AJIRI YA MATANGAZO

NI SHIDAA FULL UMBEA

NAFASI HII NI YAKO KWA AJIRI YA MATANGAZO

Friday, April 3, 2015

EFM YASHEREHEKEA KUTIMIZA MWAKA KWA KISHINDO


Jikekizz la nguvu la kusherehekea siku ya kuzaliwa ya Radio 93.7 EFM.
Mstahiki Meya wa Kinondoni, Yussuf Mwenda akibadilishana mawazo na Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kusini, David Kafulila walipo kutana katika ofisi za EFM asubuhi ya leo.
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Mtangazaji wa kipindi cha Joto la Asubuhi, Dennis Ssebo akiwa na Mkurugrnzi Mkuu wa Radio 93.7 EFM, Francis Ciza.
Mmoja wa wageni waliotembelea ofisi hiyo, Sukhwinder Bajwa ambaye ni Mkuu wa Masoko kutoka Kampuni ya Zantel, akizungumza wakati wa kuipongeza EFM siku ya leo.
Samira Kiango ambae ni Mhariri Msaidizi pamoja akiwa na Mkurugenzi Mkuu wa EFM, Francis Ciza.
Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kusini, David Kafulila alipokua akiongea moja kwa moja kutoka katika kituo cha 93.7 EFM siku ya leo.

Thursday, February 12, 2015

KAMA ULIKUA UJUI KUHUSU UZURI WA ZARI WA DIAMOND SOMA HAPA.

Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her.
Besides her looks, she is also ambitious and rich.


Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology.

She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music.

She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot.

Check her out:

Wednesday, February 11, 2015

Q Chief : "Mwambie TID aache kuvuta unga watu wote tushaacha sasa hivi..Tell him to do music not to talk about me"

 Kama ni mfatiliaji wa kipindi cha Siz Kitaa cha Clouds Tv, utakuwa umekutana na interview ya T.I.D  a.k.a Myama a.k.a Mzee Warioba akijibu swali la mtangazaji wa kipindi hicho "Casto Dickson" lililohusu sababu kubwa ya kuvunjika kwa Top Band,ambapo kwa TID alisema Q Chilla alikuwa na tamaa.
*kama atadanganya mbele ya jamii kwamba nimempa chake na ye chake amekitumia tofauti kunichoresha sidhani kama ni mtu mzuri kwangu, ni mtu mbaya......
* Mwambie huyo Warioba kwamba Mugabe kakasirika kusikia una-provoke na kuongea vitu ambavyo havi-make sense kwake....
* aache kuvuta unga watu wote tushaacha sasahivi, afanye mambo ya msingi ana watoto ana baba ana mama aache kwanza ngada, arudi kwenye mziki kama mi nilivyorudi na For You, aache hizo habari ...
Q chief amefunguka maneno mazito sana baada ya kusikia kauli hiyo ya TID  
"sidhani kama hizo ni sababu, mi nadhani TID is alittle bit frustrated right now, because of what he is going through nadhani hilo linamfanya kidogo limchanganye na pale anapoulizwa maswali na kujibu. Katika kumbukumbu yangu mi ninachokumbuka ni kwamba muhindi alitoa kama milioni kumi hivi ya ile album, alivyotoa ile ilikuwa ni advance bado tunamdai hela ingine  mi nilikuwa nimesafiri nimeenda Mombasa, kwahiyo my only mistake nikumwambia TID kwamba nende kachukue ile hela kwa muhindi nikiwa na imani ni hela ndogo hawezi kuitolea macho....
.
Unajua hela ni hela, hela ni ibilisi alivyoishika mkononi, alikuwa kijana alikuwa  na mambo mengi, akaingia tamaa, kuingia tamaa akaniambia bwana kuna milioni tatu imetoka inabidi nikupe nini, halafu kwanza na mi pia nimechukua tatu halafu kuna nne nyingine itatoka, kwahiyo aka-compile zile mbili zangu mbili zake zikawa nne  kwa hiyo ana seven milion, mi narudi baada ya wiki moja namwambia bana sasa inabidi tupande ndege twende Dubai tukachukue vyombo, mi na wewe tukachague, baadae nikapiga hesabu kiubinaadam na kiungwana nikaona aah tukipanda ndege watu wawili cost itakuwa nyingi, kwanini wewe usiende tayari una experience na Band, basi tumepanga vizuri, namkuta asubuhi anakula bata, mi natoka maisha nasema huyu si Myama huyu, anatakiwa awe kwenye ndege saa hii, sa mbona yuko hapa? mtu wa pembeni girlfriend wake akanitonya akaniambia sikiliza TID akiona hela anakuwa kama jini anabadilika na ubinaadam pia unakwisha..........
Sasa TID kumbe ile hela kaila kaifanyia mambo mengine kaongezea kanunua gari, mi nilivyorudi nikamfat amama ake na kaka zake, nikawaambia bwana ikija mara ya pili ntakuja na defender za kutosha halafu ntamuharibia huyu jamaa umeon abwana. sasa wakaja wakanitisha bwana unajua TID sijui mtu wa kinondoni, nikawaamba mi staki kuju anaishi wapi kwasababu mi mwenye mtoto wa jua, Sun of the Sun no mother no father, nimezaliwa na jua, sa ukiniambia kazaliwa oooh sijui wapi sijui wapi me i really dont wanna know that, me i want my money back, ndio maana kesho nakuja na polisi.....nilivyofika na polisi wakaomba negotiation (maelewano) pia hakutoa hiyo hela yote aliyokusudiwa kuitoa milioni tatu iliyobaki, jamsingi alichokifanya kajipiga piga kaja akatoa milioni moja na nusu.........
Infact i dont like the guy kwasababu he is a bit frustrated he needs to sit down and settle his things, thats how he can sit down na kuanza maisha mapya, nilihisi tumeshayamaliza haya mambo, lakini kama atadanganya mbele ya jamii kwamba nimempa chake na ye chake amekitumia tofauti kunichoresha sidhani kama ni mtu mzuri kwangu, ni mtu mbaya......
Qchief aliendelea kutiririka baada ya swali kuhusu kama kutakuwa na uwezekano wa baadae kurejea top band 
no no no no am another new brand yaani, ni brand kubwa kuliko ye anavyofikiria sidhani kama mimi napaswa kurudi Top Band, nadhani yeye anaendelea, afanye kitu Top Band irudi pale, kwasababu siisikii siioni, kwahiyo unaponiambia nirudi pia ur making a mistake, Qchief amerudi kwaajili ya kufanya kazi zake na wasanii wanao focus na future yao, sio wasanii ambao wako tayari ku-back bite kuhusu mtu flani kwasababu ya wao kupata kiki......
Mwambie huyo Warioba kwamba Mugabe kakasirika kusikia una-provoke na kuongea vitu ambavyo havi-make sense kwake, tell him to do music, better music, not to talk about me cause me i dont talk about him anymore, na aache kuvuta unga watu wote tushaacha sasahivi, afanye mambo ya msingi ana watoto ana baba ana mama aache kwanza ngada, arudi kwenye mziki kam ami nilivyorudi na For You, aache hizo habari. Aachane kabisa na mambo ya unga, arudi, akiri awe mwanaadamu kama wanaadamu wengine, unakuwaje mnyama, unakuwaje mnyama wakati we binaadamu. mwambie sasa mzee mugabe kashafanya Press Conference nyingi kuliko Mzee Warioba kacheza na International Affairs amulizie Mugabe nani duniani atapata majibu

Saturday, February 7, 2015

MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM AKABIDHI MASHINE ZA KUFYATULIA MATOFALI ZILIZOTOLEWA NA (NHC) KWA VIKUNDI VYA VIJANA

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadick akizungumza wakati wa ufungwaji wa mafunzo ya ufyatuaji tofali na makabidhiano ya mashine za kufyatulia matofali ya kufungamana kwa wilaya zote tatu za mkoa wa Dar es Salaam kwa vikundi vya vijana. Shirika la Nyumba la Taifa limeongeza mashine zingine kwa vikundi hivyo ili kusaidia serikali katika kupambana na tatizo la ajira nchini kwa vijana.
Mkuu wa wilaya ya Temeke akizungumza wakati wa ufungwaji wa mafunzo ya ufyatuaji tofali na makabidhiano ya mashine za kufyatulia matofali ya kufungamana kwa wilaya zote tatu za mkoa wa Dar es Salaam kwa vikundi vya vijana. Shirika la Nyumba la Taifa limeongeza mashine zingine kwa vikundi hivyo ili kusaidia serikali katika kupambana na tatizo la ajira nchini kwa vijana.
Baadhi ya vijana wakiwapo wakati wa ufungwaji wa mafunzo ya ufyatuaji tofali na makabidhiano ya mashine za kufyatulia matofali ya kufungamana kwa wilaya zote tatu za mkoa wa Dar es Salaam kwa vikundi vya vijana. Shirika la Nyumba la Taifa limeongeza mashine zingine kwa vikundi hivyo ili kusaidia serikali katika kupambana na tatizo la ajira nchini kwa vijana.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadick akikata utepe kuashiria kukabidhi mashine wakati wa ufungwaji wa mafunzo ya ufyatuaji tofali na makabidhiano ya mashine za kufyatulia matofali ya kufungamana kwa wilaya zote tatu za mkoa wa Dar es Salaam kwa vikundi vya vijana. Shirika la Nyumba la Taifa limeongeza mashine zingine kwa vikundi hivyo ili kusaidia serikali katika kupambana na tatizo la ajira nchini kwa vijana.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadick akikata utepe kuashiria kukabidhi mashine wakati wa ufungwaji wa mafunzo ya ufyatuaji tofali na makabidhiano ya mashine za kufyatulia matofali ya kufungamana kwa wilaya zote tatu za mkoa wa Dar es Salaam kwa vikundi vya vijana. Shirika la Nyumba la Taifa limeongeza mashine zingine kwa vikundi hivyo ili kusaidia serikali katika kupambana na tatizo la ajira nchini kwa vijana.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadick akikabidhi mashine kwa viongozi wa vkundi vya vijana wa Dar es Salaam wakati wa ufungwaji wa mafunzo ya ufyatuaji tofali na makabidhiano ya mashine za kufyatulia matofali ya kufungamana kwa wilaya zote tatu za mkoa wa Dar es Salaam kwa vikundi vya vijana. Shirika la Nyumba la Taifa limeongeza mashine zingine kwa vikundi hivyo ili kusaidia serikali katika kupambana na tatizo la ajira nchini kwa vijana.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadick akikagua shughuli ya ufyatuaji tofali wakati wa ufungwaji wa mafunzo ya ufyatuaji tofali na makabidhiano ya mashine za kufyatulia matofali ya kufungamana kwa wilaya zote tatu za mkoa wa Dar es Salaam kwa vikundi vya vijana. Shirika la Nyumba la Taifa limeongeza mashine zingine kwa vikundi hivyo ili kusaidia serikali katika kupambana na tatizo la ajira nchini kwa vijana.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadick akikagua shughuli ya ufyatuaji tofali wakati wa ufungwaji wa mafunzo ya ufyatuaji tofali na makabidhiano ya mashine za kufyatulia matofali ya kufungamana kwa wilaya zote tatu za mkoa wa Dar es Salaam kwa vikundi vya vijana. Shirika la Nyumba la Taifa limeongeza mashine zingine kwa vikundi hivyo ili kusaidia serikali katika kupambana na tatizo la ajira nchini kwa vijana
Baadhi ya wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwashiriki wakati wa ufungwaji wa mafunzo ya ufyatuaji tofali na makabidhiano ya mashine za kufyatulia matofali ya kufungamana kwa wilaya zote tatu za mkoa wa Dar es Salaam kwa vikundi vya vijana. Shirika la Nyumba la Taifa limeongeza mashine zingine kwa vikundi hivyo ili kusaidia serikali katika kupambana na tatizo la ajira nchini kwa vijana
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadick akikagua shughuli ya ufyatuaji tofali wakati wa ufungwaji wa mafunzo ya ufyatuaji tofali na makabidhiano ya mashine za kufyatulia matofali ya kufungamana kwa wilaya zote tatu za mkoa wa Dar es Salaam kwa vikundi vya vijana. Shirika la Nyumba la Taifa limeongeza mashine zingine kwa vikundi hivyo ili kusaidia serikali katika kupambana na tatizo la ajira nchini kwa vijana
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadick akikagua shughuli ya ufyatuaji tofali wakati wa ufungwaji wa mafunzo ya ufyatuaji tofali na makabidhiano ya mashine za kufyatulia matofali ya kufungamana kwa wilaya zote tatu za mkoa wa Dar es Salaam kwa vikundi vya vijana. Shirika la Nyumba la Taifa limeongeza mashine zingine kwa vikundi hivyo ili kusaidia serikali katika kupambana na tatizo la ajira nchini kwa vijana
Vijana wakiendelea na ufyatuaji tofali wakati wa hafla hiyo. Shirika la Nyumba la Taifa limeongeza mashine zingine kwa vikundi hivyo ili kusaidia serikali katika kupambana na tatizo la ajira nchini kwa vijana.
Vijana wakijenga jengo la mfano wakati wa hafla hiyo. Shirika la Nyumba la Taifa limeongeza mashine zingine kwa vikundi hivyo ili kusaidia serikali katika kupambana na tatizo la ajira nchini kwa vijana.
Vijana wakijenga jengo la mfano kumuonyesha Mkuu wa Mkoa wa Dae es Salaam namna matofali hayo yanavyojenga nyumba wakati wa hafla hiyo. Shirika la Nyumba la Taifa limeongeza mashine zingine kwa vikundi hivyo ili kusaidia serikali katika kupambana na tatizo la ajira nchini kwa vijana.
Vijana wakijenga jengo la mfano kumuonyesha Mkuu wa Mkoa wa Dae es Salaam namna matofali hayo yanavyojenga nyumba wakati wa hafla hiyo. Shirika la Nyumba la Taifa limeongeza mashine zingine kwa vikundi hivyo ili kusaidia serikali katika kupambana na tatizo la ajira nchini kwa vijana.
Vijana wakijenga jengo la mfano kumuonyesha Mkuu wa Mkoa wa Dae es Salaam namna matofali hayo yanavyojenga nyumba wakati wa hafla hiyo. Shirika la Nyumba la Taifa limeongeza mashine zingine kwa vikundi hivyo ili kusaidia serikali katika kupambana na tatizo la ajira nchini kwa vijana.
Viongozi wa vijana hao wakizungumza wakati wa ufungwaji wa mafunzo ya ufyatuaji tofali na makabidhiano ya mashine za kufyatulia matofali ya kufungamana kwa wilaya zote tatu za mkoa wa Dar es Salaam kwa vikundi vya vijana.
Baadhi ya vijana wakiwapo wakati wa ufungwaji wa mafunzo ya ufyatuaji tofali na makabidhiano ya mashine za kufyatulia matofali ya kufungamana kwa wilaya zote tatu za mkoa wa Dar es Salaam kwa vikundi vya vijana. Shirika la Nyumba la Taifa limeongeza mashine zingine kwa vikundi hivyo ili kusaidia serikali katika kupambana na tatizo la ajira nchini kwa vijana.
Mashine za kufyatulia tofali za kufungamana zikiwa zimewekwa kwaajili ya kukabidhiwa kwa vijana wa mkoa wa Dar es Salaam.
Meya wa Temeke Maadadi Hoja na voongozi wenzake wakifuatilia shughuli hiyo ya makabidhiano
Baadhi ya vijana wakiwapo wakati wa ufungwaji wa mafunzo ya ufyatuaji tofali na makabidhiano ya mashine za kufyatulia matofali ya kufungamana kwa wilaya zote tatu za mkoa wa Dar es Salaam kwa vikundi vya vijana. Shirika la Nyumba la Taifa limeongeza mashine zingine kwa vikundi hivyo ili kusaidia serikali katika kupambana na tatizo la ajira nchini kwa vijana.
Baadhi ya vijana wakiwapo wakati wa ufungwaji wa mafunzo ya ufyatuaji tofali na makabidhiano ya mashine za kufyatulia matofali ya kufungamana kwa wilaya zote tatu za mkoa wa Dar es Salaam kwa vikundi vya vijana. Shirika la Nyumba la Taifa limeongeza mashine zingine kwa vikundi hivyo ili kusaidia serikali katika kupambana na tatizo la ajira nchini kwa vijana.
Bendi ya Mlimani Park ikiendelea kutoa burudani katika shughuli hiyo

Wednesday, February 4, 2015

TASWIRA MBALI MBALI KUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA LEO

Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Seriklai za Mitaa (TAMISEMI) Aggrey Mwanri akijibu maswali ya wabunge bungeni Dodoma.
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt. Hussein Mwinyi akijibu swali la mbunge Bungeni Dodoma.
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleoa ya Makazi Angellah Kairuki, akijibu swali la mbunge Bungeni.
Mjumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama, Capt. Mstaafu John Chiligati akiwasilsha taarifa ya kamati yake.
Mjumbe wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Selemani Jafo akiwasilisha taarifa ya kamati hiyo.
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Uchumi, Viwanda na Biashara, Luhaga Mpina, akiwasilisha taarifa ya kamati yake.
Mbunge wa Kuteuliwa James Mbatia (mstari wa mbele aliyesimama), akiomba mwongozo kwa Mwenyekiti wa Bunge, Mussa Azzan Zungu.
Mwenyekiti wa Bunge, Mussa Azzan Zungu, akifafanua jambo kuhusu mwongozo wa mbunge Mbatia.
Baadhi ya wageni wa Spika waliohudhuria Bunge, wakiongozwa na Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) Ernest Mangu(wa kwanza mstari wa chini).Kulia kwake ni Kamishna wa Jeshi la Magereza (CGP) John Casmir Minja.
Mjumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama, Capt. Mstaafu John Chiligati (kushoto) akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe huku mbunge wa Bariad Magharibi Andrew Chenge akitabasamu nje ya ukumbi wa Bunge.
Waziri wa Fedha Saada Mkuya, akibadilshana mawazo na Naibu Waziri wake Adam Malima nje ya ukiumbi wa Bunge mjini Dodoma.Pembeni yao ni Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Janeth Mbene.
Kamishna wa Jeshi la Magereza (CGP) John Casmir Minja, akisalimiana na Mbunge wa Tabora Mjini Ismail Aden Rage baada ya Bunge kuahirishwa majira ya asubuhi. Kulia ni Mbunge wa Babati Vijijini Jitu Soni.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi (kulia) Mathias Chikawe akiwaongoza Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) Ernest Mangu na Mkuu wa Jeshi la Magereza (CGP) John Casmir Minja kushuka ngazi za Bunge.
Naibu Waziri wa Fedha, Adam Malima.
Naibu Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Juma Nkamia, akijibu maswali Bungeni.
Mbunge wa Viti Maalum, Amina Mwidau.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Uratibu na Bunge, Jenista Mhagama akijibu swali la Mbunge la Mbunge wa Rombo Joseph Selasini.
Naibu Waziri wa Elimu,Anne Kilango akichangia bungeni
Mbunge la Mbunge wa Rombo Joseph Selasini, akiuliza swali.
Mwenyekiti wa Bunge la Jamhuri Lediana Mng’ong’o akiongoza Bunge.
Mwenyekiti Mpya wa Bunge la Jamhuri Kidawa Hamidi Saleh.