Tuesday, April 8, 2014

NEY WA MITEGO APOROMOSHA MATUSI KUPITIA INSTAGRAM KUHUSU TETESI ZA DEMU WAKE KUCHUMBIWA NA PEDESHEE

ney kimwana

Kuna baadhi ya mitandao imepost na kuandika habari kuwa mchumba wake msanii wa kizazi kipya anetamba na kibao chake NASEMA NAO na MUZIKI GANI ame chumbiwa na mwanaume mwingie. Katika kukanusha uvumi huo msanii huyo amepost picha ifuatayo Instagram na kuandika ujumbe chini yake unao dhihirsha mapenzi yake kwa mchumba wake huyo.
mchumba

0 comments:

Post a Comment